Artist:Wazee wetu
Song:Feelings
Year:2011
Language:Kiswahili
VERSE 1 LYRICS:
Tulipatana na yeye kwa highway eeh
kwa highway nikienda kwa dhambi eeh
kwa dhambi akanicheki eeh
nikamcheki nikashikwa na feelings eeh
na feelings eeh za kuokoka eeh
CHORUS LYRICS:
Umeokoka imba imba na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
ruka ruka cheza cheza na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
zikitushika tunahisi mafeelings eeh
VERSE 2 LYRICS:
Na wewe mama ata na wewe kijana eeh
ukiokoka unashikwa na feelings eeh
na feelings eeh za kubanjuka eeh
ni feelings eeh zinatukwachu ehh
zikitukwachu tunafeel wegha sudu eeh
CHORUS LYRICS:
Umeokoka imba imba na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
ruka ruka cheza cheza na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
zikitushika tunahisi mafeelings eeh
VERSE 3 LYRICS:
Ni Yesu Kristo Aliyeniteka nyara eeh
Akaniweka chini ya upendo Wake eeh
na sasa mimi nimejazwa na feelings eeh
na sasa mimi nimeshikwa na feelings eeh
zikinishika naskia poa sudu eeh
CHORUS LYRICS:
Umeokoka imba imba na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
ruka ruka cheza cheza na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
zikitushika tunahisi mafeelings eeh
VERSE 4 LYRICS:
Ameniguza mimi nikagusika eeh
kwa roho yangu mimi nikajazika eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
zikinishika naskia wegha sudu eeh
CHORUS LYRICS:
Umeokoka imba imba na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
ruka ruka cheza cheza na feelings eeh
na feelings za Mungu Baba eeh
zikitushika tunahisi mafeelings eeh
VERSE 5 LYRICS:
Rukaruka na feelings, rukaruka na feelings
cheza cheza na feelings, cheza cheza na feelings
cheza cheza na feelings, cheza cheza na feelings
aah kila mtu, rukaruka na feelings
aah DJ soksi, rukaruka na feelings
aah DJ moss, rukaruka na feelings
rukaruka na feelings, rukaruka na feelings
aah ni feelings eeh, za Mungu Baba eeh
aah ni feelings eeh, za Mungu Baba eeh