| 
A+ R A-

(0 votes, average 0 out of 5)

Chira

Song: Chira
Artist: Wawesh

Verse 1
Ndani ya moti, tume smamishwa na ponyi, lazima chai, woi, atuna dough, oh boi
Ndani ya hosi, tume amuka, sahi tuna kumbuka, tulikosa kuchota ponyi
Inje ya hare wanataka kipande na tumesahau wallet, wanafikiria si ni watoi
Tunazurura, we dont know were we going, operation area ni hapa, woi, woi

Chorus
Chira, chira, chira, chira, chira chira, chira, chira

Verse 2
Bado pale, tunatolewa suruari, waizi hawajali, wanatufuta wallet
Manze skiza si ume cheki kabisa, mbona una tutesa, sisi hatuna pesa
Kusema hivyo, chuma, lami hiyo, tuka tolewo mbio, karibu tu uliwo (Gai, gai, gai, gai)

Chorus
Chira, chira, chira, chira, chira chira, chira, chira

Verse 3
I wish we were nyumbani, sahi sa nane, tumeanza ku panic
Tuko tupu, kichele, kucheki mbele, tuna ona ma ponyi
wana karibisha slowly, tume surrender, oh boi, ndani ya station, cross
examination, wana gather information, they need some explination
Ndani ya courti kuna zunguka, kumbe nina amuka
Im not even in Nairobi (damn)

Chorus
Chira, chira, chira, chira, chira chira, chira, chira


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 1404 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)