| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(1 vote, average 5.00 out of 5)

Ningekuwa na mabawa

Artist:Swaramimi
Song:Ningekuwa na mabawa
Year:2008
Language:Kiswahili

CHORUS LYRICS:


Ningekuwa na mabawa ningeruka hadi binguni
Ningekuwa na funguo ningefungua mlango wako
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele

VERSE 1 LYRICS:


Malaika wanakuimbia nyimbo nzuri za furaha
Majeluhi na Masela wanasifu Jina Lako

CHORUS LYRICS:


Ningekuwa na mabawa ningeruka hadi binguni
Ningekuwa na funguo ningefungua mlango wako
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele

VERSE 2 LYRICS:


Ningekuwa mimi ni bahari, ningevua kwa sauti
Ningekuwa mimi ni kengele, ningelia usikie

CHORUS LYRICS:


Ningekuwa na mabawa ningeruka hadi binguni
Ningekuwa na funguo ningefungua mlango wako
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele

VERSE 3 LYRICS:


Mola mimi nitakuimbia siku za maisha yangu
Nitaimba sifa zako Bwana ili watu wasikie

CHORUS LYRICS:


Ningekuwa na mabawa ningeruka hadi binguni
Ningekuwa na funguo ningefungua mlango wako
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele

VERSE 4 LYRICS:


Naamini kwamba siku moja nitafika mbele Yako
Natamani sana kuja kwako kwenye raha ya milele

CHORUS LYRICS:


Ningekuwa na mabawa ningeruka hadi binguni
Ningekuwa na funguo ningefungua mlango wako
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele
Niingie nyumbani mwako nikuimbie Mungu wangu
katika makao yako, makao ya milele

Related lyrics

Comments (2)
  • Thadeo
    Asante sana kwa ujumbe mzuri
  • Thadeo  - Ningekuwa na mabawa
    Asante sana kwa ujumbe mzuri
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 234 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)