| 
A+ R A-

(1 vote, average 5.00 out of 5)

Najuta

" target="_blank">LISTEN TO 'NAJUTA'

Artist: Sana (Sanaipei Tande)
Song: Najuta


Chorus
Ntamwambiaje eti kuwa miye nampeza
Ntamwelezaje eti bila yeye naugua
Ntamjulishaje kuwa roho yangu yaumia
Ntamwambiaje eh kuwa mimiye najuta

Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta
Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta

Verse 1
Nilitega sikio mtaani, kasikiza za wasengenyaji
Eti yeye na yule wana uchumbaji
Bila hata kujali
Au kuuliza maswali
Niliyaamini maneno nikamuaga kwaheri

Miezi ni kadhaa ah ah
Nami nalia ah ah
Ningemrudia aha
Lakini nna tatizo ooh

Chorus
Ntamwambiaje eti kuwa miye nampeza
Ntamwelezaje eti bila yeye naugua
Ntamjulishaje kuwa roho yangu yaumia
Ntamwambiaje eh kuwa mimiye najuta

Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta
Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta

Verse 2
Nilifunga virago vyangu vyote
Kuamua sitorudi kamwe
Kwani yeye na yule walinifadhaisha
Lakini kila wasaa
Napata nikimwaza
Ningeyapuuza maneno tungeishi kwa raha

Miezi ni kadhaa ah ah
Nami nalia ah ah
Ningemrudia aha
Lakini nna tatizo ooh

Chorus
Ntamwambiaje eti kuwa miye nampeza
Ntamwelezaje eti bila yeye naugua
Ntamjulishaje kuwa roho yangu yaumia
Ntamwambiaje eh kuwa mimiye najuta

Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta
Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta

Bridge
Nnaye anipenday
Na anifaaye
Lakini hata afanyeje
Halingani nawe
Naomba msamaha
Kwa kukukosea
Wengi watasema
Usiku watalala

Chorus
Ntamwambiaje eti kuwa miye nampeza
Ntamwelezaje eti bila yeye naugua
Ntamjulishaje kuwa roho yangu yaumia
Ntamwambiaje eh kuwa mimiye najuta

Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta
Kukosana naye, kutengana naye
Kuachana naye, ooh mimi najuta


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 1356 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)