| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(3 votes, average 5.00 out of 5)

Staki Kukuona

">audio_icon_leftLISTEN TO 'STAKI KUKUONA'audio_icon_right

Artist: Rabbit
Song: Staki Kukuona
Production: Kaka Empire/ Dice Entertainment


Intro

Unajua
mi napenda story sana lakini
ka si biz au doh
mi naona tu utembe yaani, unajua

Dice Mzeiya,
Kaka Sungura,
Rabbit, 
hii ni ingine mzeiya
siunajua…….

Chorus
Kaa si pesa au biashara,
basi tembea
nani! nani tembea

Kaa si ganji au mradi,
basi tembea
nani! nani tembea

Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona
Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona

Verse 1
Nimesaka winch wiki yote wakaniita paper chaser
Yaani doh, ganji , mkwanja au pesa
Staki story ndio nimechill mbele ya keja
Udaku ikaletwa, {Dice hajaacha fegi,
Oguyo bado ni pedi, Mp wangu ni Yule utembea na ma vedi}
Oya! Mambo ya Dice mi uongelea kwa beat,
Dome za mtaa pelekea chief, ata kura ifanywe leo
Mp wako simpi tick, nani tembea na na staki kukuona
Kaa si doh maskio yangu haikaribishi udaku
Unabiz ingine?  Tembeza kiatu!
Nataka future lavish ndio niweze kujimudu
Kwa sasa nakaribisha buda Uhuru, Moi ka inaweza
Sana sana ma dolare, Ata P-Unit wanajua Rabbit ni mkare

Chorus
Kaa si pesa au biashara,
basi tembea
nani! nani tembea

Kaa si ganji au mradi,
basi tembea
nani! nani tembea

Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona
Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona

Verse 2
We ni mrembo sana na staki nikuaate
Lakini sina time ya love labda tuplakane
Ile chapaa ninayo sahii hata hainitoshi
Nikikuongeza kwa budget  ntapunguza noti
+ nikupeleke out  + njumu za kisource
+ nikuachie za mfuko +  nguo zile posh
+ taxi za usiku + ile good life of course
Tuseme tu ukweli relationship haiwezi
Wewe + mimi = madeni
So ntakuacha kwa sasa nikatafute peni
Ukiinsist tu sana, mami tembea na na staki kukuona
Nilikuwa na mpango usiingie box yangu
We uliblanda ati ati ulinipenda tangu
Hatuwezi kula mapenzi , rent kila mwezi
Ati i love you , I love you kaa si?

Chorus
Kaa si pesa au biashara,
basi tembea
nani! nani tembea

Kaa si ganji au mradi,
basi tembea
nani! nani tembea

Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona
Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona

Bridge
Na na staki kukuona ah aaah staki kukuona
Na na staki kukuona ah aaah staki kukuona...

Chorus
Kaa si pesa au biashara,
basi tembea
nani! nani tembea

Kaa si ganji au mradi,
basi tembea
nani! nani tembea

Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona
Na na staki kukuona
ah aaah Staki kukuona

Outro
Unajua na hope unaelewa,
si kwa ubaya
lazima kwanza watu wajenge doh,
lazima watu wafanye biz
nikishajenga doh, ntakutafuta,
ukweli ntakutafuta!


Related lyrics

Comments (4)
  • shemzylee
    avatar
    hii ngoma iko tops tu xana manze kudos u guy ata p-unit wanajua wewe mkare.
  • collins langat
    iko tops maze naiheshimu
  • Mercie
    Wow! I lyk it izo mistari ziko juu tu sana. Big up.
  • cyrus wambeti  - staki kukuona
    Ngoma iko juu Rabbit da most creative artist in Kenya.
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 3828 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)