" target="_blank">
LISTEN TO 'NIKIWA NDANI'![]()
Artist: Prince Adio
Song: Nikiwa Ndani
Chorus
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
Verse 1
kelele zako ni za bure
mimi leo nakuambia
ya nini kunitukana
kunichukia
ndani kunikaribisha
karibu kuniambia
kisha ukanifukuza
ukasema toka
si neno, si neno
mwenzio mi naumia
moyoni, moyoni
nimeamua
Chorus
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
Verse 2
hutaki kufikiria
naona umechizika
matusi kunifokea
hapo nyumbani
afadhali nijitoe
mwenzio nitoke nje
hata ulie machozi
sirudi tena
unaruka
mbona kwako hutulii
waenda nyumba kwa nyumba tabia gani jamani
usiku mchana sikosi mwako mdomoni
hodi hapa, hodi kule, mambo ni yale yale
Chorus
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
Verse 3
nikiwa ndani
aah, aah, aah
nikiwa ndani
aah, aah, aah
nikiwa ndani
aah, aah, aah
nikiwa ndani
aah, aah, aah
I wanna know how deep is your love
sio mimi nijitesee
darling, you drive me crazy
mi nta-die
I will never
let you down
I want you to be my baby
I promise
and I swear
hauta-cry
Chorus
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
nikiwa ndani
wapiga kelele
nikitoka nje
unanung'unika
kisha wasema
mimi sikupendi
nawe ukipendwa
haupendeki
