| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(0 votes, average 0 out of 5)

Nalia

Artist:Nyota Ndogo
Song:Nalia
Year:2007
Language:Kiswahili

VERSE 1 LYRICS:


Pakuenda sina, wakunipokea hakuna
machozi yanitoka, tabasamu sina
kila niendapo watu wanitusi
eti sina kwetu, mie mtumishi
mtoto wa watu, nimekosa nini
hakuna anipendaye, basi niambieni

CHORUS LYRICS:


Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza

VERSE 2 LYRICS:


Baba akaniacha, mama akanitoroka
mjomba akanifukuza, shangazi hanitaki
mpaka lini mimi, nitaishi hivi
nitambulisheni, nami nielewe
kosa langu nini, mi mja wa Mungu
basi niambieni, nami nielewe

CHORUS LYRICS:


Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza

VERSE 3 LYRICS:


Nahitaji jibu, mbona mkokimya
nifafanulieni, nataka kujua
sasa nyie nyote, mmenikimbia
mie mwana wenu, niende kwa nani

CHORUS LYRICS:


Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza

Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza

Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 180 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)