Artist:Nyota Ndogo
Song:Nalia
Year:2007
Language:Kiswahili
VERSE 1 LYRICS:
Pakuenda sina, wakunipokea hakuna
machozi yanitoka, tabasamu sina
kila niendapo watu wanitusi
eti sina kwetu, mie mtumishi
mtoto wa watu, nimekosa nini
hakuna anipendaye, basi niambieni
CHORUS LYRICS:
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
VERSE 2 LYRICS:
Baba akaniacha, mama akanitoroka
mjomba akanifukuza, shangazi hanitaki
mpaka lini mimi, nitaishi hivi
nitambulisheni, nami nielewe
kosa langu nini, mi mja wa Mungu
basi niambieni, nami nielewe
CHORUS LYRICS:
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
VERSE 3 LYRICS:
Nahitaji jibu, mbona mkokimya
nifafanulieni, nataka kujua
sasa nyie nyote, mmenikimbia
mie mwana wenu, niende kwa nani
CHORUS LYRICS:
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza
Ooh nalia hakuna wa kunibembeleza