| 
A+ R A-

(0 votes, average 0 out of 5)

Moyoni

" target="_blank">LISTEN TO 'MOYONI'

Artist: Nonini & Gadafy
Song: Moyoni
Album: Hanyaring Game
Year: 2004
Producer: Clement 'Clemo' Rapudo
Record Label: Calif Records
Language: Kiswahili

Chorus (Gadafy)

moyoni, mwangu mimi nateseka
moyoni, mwangu mimi nateseka
umbo lako lilo zuri laniumiza
umbo lako lilo zuri laniumiza

moyoni, mwangu mimi nateseka
moyoni, mwangu mimi nateseka
umbo lako lilo zuri laniumiza
umbo lako lilo zuri laniumiza

Verse 1 (Gadafy)
kukupata wewe sikutaraji
lakini moyo sikuvunjika
kukupata wewe sikutaraji
lakini moyo sikuvunjika
ndipo nikaamua kukuambia
ndipo nikaamua kukuambia

Chorus (Gadafy)
moyoni, mwangu mimi nateseka
moyoni, mwangu mimi nateseka
umbo lako lilo zuri laniumiza
umbo lako lilo zuri laniumiza

Verse 2 (Nonini)
moyoni mwangu mi wanimaliza na kila kitu chako
naumia, naumia, naumia na penzi lako
shida ya nini nikitoka studio umenifuria
shida ya nini nikienda show jo unaanza kulia
shida ya nini tukikutana na manzi unanichangia
shida ya nini
shida ya nini
mi ni Nonini ngoma lazma niendelee kutoa
mi ni Nonini show sijui kwa nini ngotha wanatoa
mi ni Nonini lazma nikue na beste wa kuniokoa
mi ni Nonini, mi ni Nonini

cheki leo uniambie nini mbaya
si kwa ubaya lakini nataka kujua ni nini nilikufanya
nikakufanya ukiwa na beste yangu ukakulia vako
huwa unanipitia sijui nililala kwako
wanisikilia aibu siku hizi nini
au ni vile mi huwaga nimechacha nini
ukiambiwa hii juu yangu, unaamini
ukiambiwa vile juu yangu inakupigia akili
ku-record vitu ka studio unafaa kuwacha
beste zako wana hii mingi unawakata
sabu juzi jo nilikuwa nadhani nimekuwasha
dakika mbili nimekushika nare umewaka
wana mashingo walikuwa wananiambia vile ulikuwa unanitaka
kumbe ulikuwa unaninyemelea maskio
ni poa sikufunga macho nikakuona kwa kioo
ukaenda kuniuma mimi huyo mbiooo

Chorus (Gadafy)
moyoni, mwangu mimi nateseka
moyoni, mwangu mimi nateseka
umbo lako lilo zuri laniumiza
umbo lako lilo zuri laniumiza

moyoni, mwangu mimi nateseka
moyoni, mwangu mimi nateseka
umbo lako lilo zuri laniumiza
umbo lako lilo zuri laniumiza

Verse 3 (Nonini)
mbona jo mnatuumiza bana
tunaumia kila siku jo
tuoneni huruma
nikikuja home naskia njaa jo nipikie chai wacha kuniuliza swali mingi
ati ooh, sijui ati ooh
relax jo, wacha maneno mingi
shida ya nini, shida ya nini
mi ni nani?
mi ni Nonini

Chorus
moyoni, mwangu mimi nateseka
moyoni, mwangu mimi nateseka
umbo lako lilo zuri laniumiza
umbo lako lilo zuri laniumiza

moyoni mwangu mi wanimaliza na kila kitu chako
naumia, naumia, naumia na penzi lako
moyoni mwangu mi wanimaliza na kila kitu chako
naumia, naumia, naumia na penzi lako


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 1145 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)