K
umaanisha yaani ziko offline wasee, haha! Juzi nilikuwa narandaranda kwa net kama kawaida, ghafla nikacheki sites za Homeboyz na Capital hazifanyi jo!
Na zimekuwa down siku kadhaa by the way, ni tu vile leo nikaona pengine kuna vile lazma nichore juu ya hii story ndio wale masonko wa Capital waishughulikie. Inakaa site ya Capital iko offline kabisa, na ile ya Homeboyz iko na shida ya webhosting
Wakina Rabar, "DJ CK", watu wangu... iko nini? Shughulikia hiyo story chap chap.
Comments (2)
Powered by !JoomlaComment 4.0 beta2
| < Prev | Next > |
|---|
