| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(0 votes, average 0 out of 5)

Project Fame

L
eo nilikuwa najiuliza... hawa washindi wa Project Fame huendanga wapi? Mazee kila mwaka Tusker wanakuwanga wanatupeleka round kitu three months hivi tukiangalia ile progi yao alafu? Hata mgenge ka mimi saa hii nashindwa kukumbuka jina zao zote. Najua kulikuwa na Valerie Kimani, alafu Esther something(ule mresh mrefu kalikuwa virgo), wale wengine, poleni, lakini nimewasahau.
Kumekuwa na seasons kadhaa za Project Fame tangu ianze, na hakuna mshindi mwenye amewai fikia mainstream bado. Nikifikiria hiyo story mi hujiuliza, hii progi inakuwanga ya kuundisha wasanii, ama ni ya kuuza Tusker? Na hii swali ni muhadhara juu kuna vile wale wasee hukuwa kwa ile compe wanawekanga life yao kando for three months, ndio wafuate dreams zao za kukuwa wasanii, alafu Tusker haileti bidii kuwa-promote vilivyo.
Lakini kuna vile wale washindi wa hiyo something hupewa 5m, kwa hivyo pengine hawajatendwa viiile. Mi ningepewa 5m... mi nazipeleka bank ukizipeleka bar.


Related lyrics

Comments (3)
  • angel
    they should just call it project FAIL!!juu hakuna Kenyan mwenye ametoka that show na amekuwa major like the way others wamejaribu kama Nakaaya wa TZ lakini truly hao wengine nimesahau....what a waste!!!
  • Mgangagenge
    Mazee, at least Nakaya, jo! Lakini mi hujua ngoma yake moja tu, ile "Mr. Politician." Anyway, at least ye amejulikana kidogo.
  • angel
    umecheki gazeti ya leo? kwa pulse they have written the same thing vile hizi ma-reality shows za Kenya zinalet down ma-artistes wenye wako na talent.....sasa hata huyo Alpha wa Rwanda hana recording label tena?nini hizi!!
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 613 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)