| 
A+ R A-

(6 votes, average 3.67 out of 5)

Madame wa Mavida za Kenya

K
una madame wengine kwa mavida za Kenya wuuniudhi hadi naskianga kuvunja telly ya mine. Niko sure hata wewe ushawai kuwaona. Wale mabong'aa wenye wanatokea kwa video shoot na ni ka hata hawajui kenye inaendelea. Wanasimama tu hapo wakikaa maduwaanzi halafu wanatoa psyche yote kwa vida ya ngoma noma!


Dame, ka haukutaka kuwa kwa vida, ungekaa home basi! Hakuna space ya watu shy kwa mavida! Tingisha haga ama uhame stage! Jua vida poa ni dough mob sana ku-shoot, na kuna venye vida siku hizi ndio ina-determine success ya ngoma ya msee. Kwa hivyo vida ikichapa hakuna place ule beste yako msanii ataenda. Fikirieni juu ya vitu ka hizo kabla mkuje kuboesha vida za wasee hapa! Nkt!


Related lyrics

Comments (3)
  • chaka
    true,saa zingine wanaboesha vida na waholdiwa bash baadaye,so unfair.lakini ule dame wa "leo itakubambia wapi?"amekuwa akinipea sweet dreams ama tuseme beautiful nightmare since ako out if reach(out of ma league).yeye huwakilisha,best chick in a music video,she should b awarded,ama aje?
  • vuvuzela
    Chaka wee ni fala mang'aa :D
  • Mgangagenge
    Nyi wote ni mafala! :D
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 987 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)