L
ast week KenyanLyrics ilishambuliwa na ma-hackers kwa mara ya fao tangu tuanze hii projo
Saa hizi tunafanya inspection ya site kuona kama kuna damage yoyote ule hacker alifanya
. Mgangagenge mi nimecheki side yangu iko poa, lakini kuna vyenye hizo lyrics zinakuwanga mob jo! Itabidi mafans pia mtusaidie kujua kama lyrics zozote zilitolewa, ama ziligeuzwa. Mkipata kesi yoyote, utustue kupitia ile section ya Contact Us.
Sawa basi, next time sa tutarudia ma-story za genge kama kawaida, au sio!
| < Prev | Next > |
|---|
