| 
A+ R A-

(0 votes, average 0 out of 5)

Andazi nayo?

K
una hii ngoma inaleta frakaz wazim mtaani. Fala flani wa TZ kameimba juu ya vile "andazi" lake ni kubwa na ni tamu. Inanikumbusha ile wimbo ya Circute and Jo-el "Manyake." Mafans wa KenyanLyrics, mnaonaje hii story ya kuimba ngoma explicit lakini maana imefichwa fichwa hivi?

 

Mi nilikuwa naona ni poa at least ndio watoi wasielewe kenye inaendelea. Lakini siku hizi kunakuwanga na watoi wengine ma-rude bwoy, pengine wanashika maana za ngoma ka hizi bana!

Comments (4)
  • angel
    manze, kids of nowadayd are mad, they shika everything!! lakini ni poa for some of these songs to be hidden juu imagine skizaing a song like sisqo's thong song with your paroz? jamani!
  • Mgangagenge
    Alafu kuna wengine wanaimbanga hizo ngoma mbele ya wazae bila ata haya!
  • karens
    enyewe ata me vile niliiona nilijua tu hivo ati ni explicit na maze ametry!

    ata ivo amehide ni poa :)
  • Mgangagenge
    Wee ndio mtu wa fao nimeona mwenye amepatia huu msee props. Wengine zao ni kum-diss pekee :D
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 942 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)