M
asaa ilikuwa ni Sato. Nilikuwa na ushungu ya kuenda kwa hii mabo ya Alaine. Upaya sikuwa na silingi hata kamocha cha feya mwana hata kufika ningefika ache?
Ilipiti tu nikaombeko kamia kamocha kutoka kwa chirani hapo karipu dio nikafike huko. Kwa roho yake musuri akanipa tu. Nikamushukulu sana na Mungu atamupariki mala mia!
Nilichakua sile nguo ampayo nitasivaa visuli sana. Nikachukua kale kajacket kangu iko na zipa kwa mufuko ndio nisisanyiwe pesa za chirani. Kuenda towni nikachukua ile matatu ya kuenda mpaka Kanifo dio nikaone kale kamurempo kangu Alaine. Kwa gari nikakaa karibu na kamtu kingine kalikuwa kamepepa kapahasha kubwa akaiweka chuu ya miguu yake.
Write comment (0 Comments)
, akaamua ku-revenge (sijui ka ni ukweli, lakini mi huskia ati Homeboyz hawalipangi wasee vipoa
). Unaweza kujiangalilia site yenyewe uki-click
. Kunakuwanga na wasee wengine hutokea hapo hivyo kujiaibisha tu. Na hizi vituko zu-happen kila mwaka. Msee akicheki hizi auditions za ufala, unashangaa, yaani hawa watu wamesimama kwa hiyo line kitu kama 2 hours hivi ndio wajitoe rangi mbele ya East Africa nzima? Ai, hapo ndio unajua kuna wasee wenye wako na mabeste wabaya. Ka wee ni boy wa msee ka huyo, akiku-show ati anaenda TPF ku-audition ile 'ngoma' yake ya Micheal Jackson, alafu umwache tu aende,
Kila kiture unasemare, ongeza "re" mwishore. Kwa mfano: Bobbyre Mapesare ndio kabisare. Hii lughare inafaa isambazwe ikubaliwe kotere. Au vipire? Pigeni matizire hapo chinire.
As of now tuko number two kwa zile sector mbili zenye tulialikwa. Kwa ile side ya "Action Award" tuko number 2 na kura 237, na kwa ile side ya "Beauty Award" tuko number 2 tena na kura 131.
