| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(0 votes, average 0 out of 5)

Hiba

" target="_blank">LISTEN TO 'HIBA'

Artist: Milimani Park Orchestra
Song: Hiba
Language: Kiswahili


Hiba
limenibeba pendo lako
kama mwana na mbereko

Hiba
limenibeba pendo lako
kama mwana na mbereko

nina maana kukuambia
mchana usiku silali
natafuta pesa

nina maana kukuambia
mchana usiku silali
natafuta pesa

ili tuishi vizuri
na kujenga familia bora
yenye thamani na mapenzi

ili tuishi vizuri
na kujenga familia bora
yenye thamani na penzi

Hiba
imekuwaje mpenzi
mbona umebadilika...

Hiba
imekuwaje mpenzi
mbona umebadilika...

ili tuishi vizuri
na kujenga familia bora
yenye thamani na mapenzi

ili tuishi vizuri
na kujenga familia bora
yenye thamani na penzi

Hiba
imekuwaje mpenzi
mbona umebadilika...

Hiba
imekuwaje mpenzi
mbona umebadilika...

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

badiliko la pendo lako
lanitia wasiwasi

lipi ndilo kivutio
njoo Hiba

badiliko la pendo lako
lanitia wasiwasi

lipi ndilo kivutio
njoo Hiba

nakuuliza
hutaki kusema nami Hiba

ninapokuuliza
wewe unanunanuna

ninapokuuliza
hulisikii hata kidogo Hiba

ninapokuuliza
hutaki kusema nami Hiba

wanisikitisha sana
unapokataa kula nami Hiba

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

nakuuliza
hutaki kusema nami Hiba

ninapokuuliza
wewe unanunanuna tu

ninapokuuliza
hulisikii hata kidogo Hiba

ninapokuuliza
hutaki kusema nami Hiba

unanisikitisha sana
unapokataa kula nami Hiba

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

badiliko la pendo lako
lanitia wasiwasi

lipi ndilo kivutio
njoo Hiba

badiliko la pendo lako
lanitia wasiwasi

lipi ndilo kivutio
njoo Hiba

ninapokuuliza
hutaki kusema nami Hiba

ninapokuuliza
wewe unanunanuna

ninapokuuliza
hulisikii hata kidogo Hiba

ninapokuuliza
hutaki kusema nami Hiba

unanisikitisha sana
unapokataa kula nami Hiba

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

ninapokuuliza
hutaki kusema nami Hiba

ninapokuuliza
wewe unanunanuna

ninapokuuliza
hulisikii hata kidogo

ninapokuuliza
hutaki kusema nami Hiba

unanisikitisha sana
unapokataa kula nami Hiba

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh

Hiba ooh Hiba
imekuwaje Hiba

Hiba ooh Hiba
nielezele ooh


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 355 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)