Artist: Mejja & Linda
Song: Furahia
Album: Hali Duni
Year: 2010
Producer: Clement 'Clemo' Rapudo
Record Label: Calif Records
Chorus (Linda)
zidi lazwe unajua ushapewa tumia
zidi lazwe unajua ushapewa tumia
Furahia, furahia
furahia...
Furahia, furahia
furahia...
Verse 1 (Mejja)
spare the rod and spoil the girl so
up your game yaani vile inafaa
wakikukazia kwa moon wee aim the star
wakikuja kushtuka uko very far
kumbuka hii umeambiwa na Okonkwo
uko nyumba yako ndani jua wee ndio sonko
kwa hivyo tambua wee upunguze redio
ambia jirani yako jo abanze maskio
na chodi wako afikirie kwachu au sio
tunakatika size ya wanyama zile ziko
tunaanza na kuku tunamalizia na mosquito
wacha ikubambe na upunguze mawazo
haijalishi ka umesota haijalishi ka uko nazo
furahia maisha weka shida zako kando
furahia maisha, furahia maisha
Chorus (Linda)
Furahia, furahia
furahia...
Furahia, furahia
furahia...
Verse 2 (Mejja)
leo kejani kuna bash mi nafanya
hii bash watu wawili pekee ndio tunajuana
thirty percent walikuja kuchinjiana
seventy percent wote ni ma-gate crasher
na wao ndio huteta hii food haina nyama
jamaa hukualikwa na ndio unabonga sana
ukitoka kwako si ungekuja ka umemanga
bash ikianza hakuna mtu anatupa lugha
zikianza kushika vile watu wanakunywa chupa
kila korna iko busy vile watu wamejikunja
ka uliingia pekee yako mnatoka mkiwa wawili
kama uliingia wawili hutaki mandazi mandazi
hapa utarushwa tu utatokwa baridi
staki maswali funny ati wee ni mkabila gani
ka una ukabila niondokee wee ni mtiaji
furahia maisha staki kujua umetoka wapi
Chorus (Linda)
Furahia, furahia
furahia...
Furahia, furahia
furahia...
Verse 3 (Mejja)
hii ni ya wale kwa kweli wanapendana
jana walikuwa wamekosana na leo wameskizana
kwa mahali Kenya hii wanakatika wameshikana
hii ni ya wale huheshimu wazazi
ndio maana leo wamekupatia ruhusa kiasi
ya kuingia club uimbe hii ngoma nami
hii ni ya wale wafuasi wa genge
wafuasi damu wako na genge milele
California, hadi mwisho
usipoteze macho ukiniambia nitoke huko
hii ni ya wale huishi tu vi-simple
hiyo ndio maisha ichukue vile iko
hii ni ya wale wako shule wanasoma
ama wee ni hawker ama wee huuza gikomba
wee kula jasho yako kila siku ukichoka
furahia maisha ukiskia hii ngoma
Chorus (Linda)
zidi lazwe unajua ushapewa tumia
zidi lazwe unajua ushapewa tumia
Furahia, furahia
furahia...
Furahia, furahia
furahia...
| < Prev | Next > |
|---|
