| 
A+ R A-

(1 vote, average 5.00 out of 5)

Ametenda

" target="_blank">LISTEN TO 'AMETENDA'

Artist: Maximum Melodies
Song: Ametenda
Year: 2006
Producer: Robert Kamanzi
Record Label: Shammah Boy Records

Chorus
haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

Verse 1
ni tabibu kanitibu roho yangu eeh
kafungua bila kujua kwake ye pekee
akaingia nikasikia amani kalete
kuna sababu ya kitabu rohoni uweke

ukijaribu kuwa neema tendo yake utashanga
sauti yake yanguruma yajaza yote anga
ndani yake nimetulia na roho yangu inang'aa
siondoki sipotoki na job yake hakuna balaa

sijali less, sina stress, kani-bless, see the case
amani daima, moyoni ntaimba
sitalia, fikiria, nimetulia, nilipie
kani-feel, kawa real, nika-heal, sina bill

Chorus
haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

Verse 2
from deep down my heart sifa zina-come flowing
napigwa na butwaa niki-think of pendo lako
umeni-love despite the evil that I did
siwezi goma kukusifu hata siku one

kwa giza ulinitoa
nikawa niko poa
nami nikajiloa
kwa damu akaniokoa
watu wakinilenga
yeye ananipenda
kwani nimejijenga
kwa msingi ulio bora

Chorus
haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

Verse 3
up and down, Jehovah you are the ruler
neema na rehema zako zanitosha mie
bila shaka ntakusifu mola wangu
kwa makubwa na madogo na kwa yale utado

kaniweka huru
baada ya kutubu
akanijaza na wema wake
sa mi sina shaka
kanipa baraka
tena mafuta akanipaka

Chorus
haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana

haya leo tumetenda
pokea sifa
na kwa yale utatenda wewe ni bwana


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 556 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)