" target="_blank">
LISTEN TO 'HEY BABY'![]()
Artist: Marya ft. Colonel Mustafa
Song: Hey Baby
Intro (Colonel Mustafa)
I love you too
Marya
Colonel
Ogopa DJs
Chorus
(Marya)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I need you
(Mustafa)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I love you
Verse 1 (Marya)
amini nikikuambia mimi nakupenda
kila wakati mimi naku-feel sana
nikikuangalia pia naskia kulia
story yangu ile mi uliskia
na ile message ulisoma kwa simu
mi sijui ilitoka wapi
nadhani maadui wangu waliniseti
mapenzi yetu yaishe kweli
Chorus
(Marya)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I need you
(Mustafa)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I love you
Verse 2 (Mustafa)
amini nikikuambia I love you je t'aime
uko na vitu mimi nazipenda sana
nikikuangalia baby naskia kulia
tabia yako kweli mi yanivutia
na ile lipstick ulipata kwa shati
yangu mi sijui ilitoka wapi
nadhani maadui wangu waliniseti
mapenzi yetu yaishe kweli
Chorus
(Marya)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I need you
(Mustafa)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I love you
Verse 3
(Mustafa)
mapenzi yetu mi nataka tu yaendelee
maishani tuwe sote
niamini nikikuambia I love you
niamini nikikuambia I need you
(Marya)
mapenzi yetu mi nataka tu yaendelee
maishani tuwe sote
niamini nikikuambia I love you
niamini nikikuambia I need you
Chorus
(Marya)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I need you
(Mustafa)
Hey hey hey baby
kuna kitu mimi nataka ku(sema)
nataka ku(sema)
niamini nikikuambia I love you
| < Prev | Next > |
|---|
