Artist: Marsh
Song: Pepea
Intro
Someni vijana
muongeze pia Big G
mwisho wa kuchonga
mtakosa usingizi sana
Chorus
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
Verse 1
Leo ni siku ya ngoma (aaah)
hatuki manoma
mamanzi katakata (kata)
hatari shika shika (shika)
usiku umefika
na ngoma imeshika
leo tunakatika
bomani tutafika
kauzi chunga chunga (chunga)
karau chunga chunga (chunga)
kauzi chunga chunga (chunga)
karau chunga chunga
Chorus
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
Verse 2
Cheky wale masister (sister)
wakizienda enda (enda)
matako watingiza
akili napoteza
astaili wakiimiza
nabaki kuzubaa
meza zimechafuka
machupa kupasukaa
leo tunazirusha
mahewa kuangusha
Chorus
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
Verse 3
Ukisikia zimeshika
twende tu lakini wika
masikio weka kwa spika
masupuu wote tingisha
better tafuta fresh air
manzi amebebesha
na kama huna kipusa
pitia kwangu masaa (aaaa)
nitakuitia rosa
akutingizie rosaa
nitakuitia rosa
akutingizie rosaa (rosaa rosaa)
Chorus
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
tunapepea tuna pewa pewa
tunaapepea tuna pewa pewa
Read : 979 times
Pepea
Ghafla!Lyrics (Kenya)
