| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(0 votes, average 0 out of 5)

Boda boda yangu

Artist:Man Ingwe
Song:Boda boda yangu
Year:2011
Language:Kiaswahili

CHORUS LYRICS:


Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

VERSE 1 LYRICS:


Mungu aliumba Adam na Eve na wala sio na Steve,
Abraham na Sarah, na wala sio na Fara
Josefu na Yemeri na wala sio Melvin
wacha mpango wa Jabu, fwata mpango wa Mungu

CHORUS LYRICS:


Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

VERSE 2 LYRICS:


Nawe mzee ukishaoa, mpango wa kando wachana naye
kuwadadisi shuga dadi, peleka mama polepole nyumbani
kama wako hajang'ara basi wewe ndio mtoweo
mpe pesa, mpe mapenzi, atang'ara kama wengine
kama wewe haumjali basi haumuheshimu Mungu
mpende nyumbani ukimuona, maana humuoni Mungu

CHORUS LYRICS:


Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

VERSE 3 LYRICS:


Nawe mama jikaze, urembo ni ule wa ndani
ata ule wa nje umwonyeshe yote mzee
ata sapoting dokyument zote ni zake mpatie
Muheshimu Mungu naye Atatunza ndoa yako
wapende watoto wako wote, mpende mzee wako vile
naye atakupenda, sifa zimrudie Mungu

CHORUS LYRICS:


Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

Boda boda yangu wawili wawili, mimi na mke wangu
kumpenda siku zote ndio mapenzi ya Mungu
Pikipiki yangu wawili wawili, mimi na mume wangu
kumheshimu siku zote, sheria za bodaboda

Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 213 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)