| 
A+ R A-

(0 votes, average 0 out of 5)

Vuta Pumz

" target="_blank">LISTEN TO 'VUTA PUMZ'

Artist: Longombas
Song: Vuta Pumz

Chorus

Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz
Longombas wanafanya mambo (vuta pumz)
Longombas wanatetemesha (vuta pumz)

 

Verse 1
Jamani nisikilizeni, mnisikilize 
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Kuna wanawake warembo
Wenye marasa, na mapaja, na weupe
Na ni wazuri kinyama
Jamani nisikilizeni, mnisikilize 
Jamani nisikilizeni, mnisikilize
Kuna wanaume wengi
Wenye vifua, na warefu, na wenye nguvu
Na ni wazuri kinyama
Lakini tujichunge
Pengine wanao mdudu
Wanatuacha, wana-go 
Wanatuacha, wana-go

Chorus
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora
Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora

 

Verse 2
Na kama unayo, si mwisho ya maisha
Ni ugonjwa tu kama malaria
Meza dawa, piga tizi, kula vizuri, utaishi fiti
Maisha utayasukuma
Maisha utayasukuma 

Na mijinga usiyojua kujichinga
Kila shimo unaona unadunga
Hebu jichunge kijana utakuja kufa tukuzike Lang'ata
Paja asione tu, huyo ashainua
Kifua kisipite tu, huyo ashajigonga
Tako lisipite tu, mate yashamtoka 
Tako lisipite tu, mate yashamtoka

Chorus
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz
Hee-haa, vuta pumz
We vuta pumz

Ayi nenene ...

Usimwone amejaza nyuma, ukadhani ako poa
Usimwone amerembeka, ukadhani umefika
Usimwone ana pesa, ukadhani umefika
Pengine anatuacha, kesho anachora
kesho anachora


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 2506 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)