" target="_blank">
LISTEN TO 'MULOFWA MOJA'![]()
Artist: Daudi Kabaka
Song: Mulofwa Moja
Language: Kiswahili
Nilikutana, na mulofwa moja
alidanganya, anatoka jela
aliniambia, sina pesa ya chakula
Nilikutana, na mulofwa moja
alidanganya, anatoka jela
aliniambia, sina pesa ya chakula
nilisikia, na huruma sana
ilinitoa, na shilingi tano
nikamwambia, nenda ukale chakula
nilisikia, na huruma sana
ilinitoa, na shilingi tano
nikamwambia, nenda ukale chakula
kumbe uwongo, alidanganya
ni siku nyingi, ameshindwa kazi
anatafuta, nia ya kupatia chakula
kumbe uwongo, alidanganya
ni siku nyingi, ameshindwa kazi
anatafuta, nia ya kupatia chakula
Nilikutana, na mulofwa moja
alidanganya, anatoka jela
aliniambia, sina pesa ya chakula
Nilikutana, na mulofwa moja
alidanganya, anatoka jela
aliniambia, sina pesa ya chakula
| < Prev | Next > |
|---|
