Artist: Chiwawa
Song: Strike Two (Abbas Diss Track)
Year: 2010
Language: Kiswahili, English, Sheng
Intro
Babz on the track
n****a I told you not to f**k with me
look at you now
look at you
huu boy mazee
unajua mi niliskia ame-reply yaani unajua
mi nilisare yangu yote yaani
Abbas...
Verse 1
kick back, relax
mnajua ni time gani
ngojeni muone mwanaume akikaliwa ndani
iteni mabeste kujeni na majirani
natoa gloves ndio u-feel punchlines zangu na ndani
hauna kitu na uko forty
wachana na rap, jaribu ballet ama hockey
ukiingia war na mimi jaribu ku-stay sober
niko all up in your face ka extreme makeover
flow yangu inaku-burn, niite gonohrrea
jina yangu itakuwa kila mahali utaangalia
siezi hata amini ume-try kuni-try
mi mwenyewe nakujua, mbele yangu wee ni m-shy
una-love hii attention, enjoy it for now
ulipata hao ama bado unaishi na ule karao
na nikikunyang'anya rap utabakia na nini
utakuwa shoga Koinange
ebu imagine
Chorus
hata ujiami vipoa
sidhani utatoboa
watu wangu mko wapi
mko tayari
mnakubali
niko na Babz on the track
enuff said
hata ujiami vipoa
sidhani utatoboa
watu wangu mko wapi
mko tayari
mnakubali
niko na Babz on the track
enuff said
Verse 2
ati king wa rap na uko low
jaribu ukuwe m-higher
wacha kuiba mistari angalau zi-purchase for hire
suicide is a suicide, unanipata
nilikuwa fan, saa hii mwanafunzi anakuchapa
sikatai ulini-help, shida ni hujisaidii
mi najulikana east of west South B
Abbas hauna kitu uko down, peanuts
na nimerudi tena ka junkie ame-relapse
hii kali hautoboi, kiakili uko na this much
shotz ilikuwa lullaby ama ilikuwa diss track
na-take shotz at Abbas, una-flow kama traffic
ya saa kumi na mbili, goddamn how tragic
chances zako ni slim, ka Snoop on a diet
una mid-life crisis na hutaki ku-retire
tangu mwanzo nimekuwa niki-deliver ka Pumwani
ni about time, toka sana, rudi nyumbani
Chorus
hata ujiami vipoa
sidhani utatoboa
watu wangu mko wapi
mko tayari
mnakubali
niko na Babz on the track
enuff said
hata ujiami vipoa
sidhani utatoboa
watu wangu mko wapi
mko tayari
mnakubali
niko na Babz on the track
enuff said
Outro
na kwa wale hawakujua
Chiwawa ni doggy
n***a now I got you all exposed like dog nuts
bounce back saa hii,
labda beat ndio iliku-let down, kuja kwa Babz
mpaka mafans wako hawana kitu
niite Sub Zero, si-give a f**k vile nimechill
signing out, Chiwawa
| < Prev | Next > |
|---|
