| 
A+ R A-

Deprecated: Assigning the return value of new by reference is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 47

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 33

Deprecated: Function split() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/cedit_articlefooter.php on line 35

Deprecated: Function ereg() is deprecated in /home/forever/public_html/ghafla.co.ke/ghaflalyrics/plugins/content/extranews.php on line 142
(0 votes, average 0 out of 5)

Nabii Isaiah


audio_icon_left" target="_blank">Listen to 'Nabii Isaiah'audio_icon_right



Artist: Angela Chibalonza
Song: Nabii Isaiah

Verse 1
Nabii Isaiah alinena kwa watu wote,
Nabii Isaiah alinena kwa watu wote,
Mkono wa bwana si mfupi kwa kutubariki,
lakini dhambi zetu ndizo zinatutenga naye,
Mkono wa bwana si mfupi kwa kutubariki,
lakini dhambi zetu ndizo zinatutenga naye,

Chorus
unapotembea jiulize ndugu,
unapotembea jiulize ndugu,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,

Verse 2
maana sisi sote tumetenda dhambi, na kupungukiwa na utukufu wake Mungu,
maana sisi sote tumetenda dhambi, na kupungukiwa na utukufu wake Mungu,
maana maombi ya mwenye dhambi ni kama kelele mbele za mungu,
maana maombi ya mwenye dhambi ni kama kelele mbele za mungu,
lakini maombi ya mwenye haki ni kama manukato,
lakini maombi ya mwenye haki ni kama manukato,

Chorus
unapotembea jiulize ndugu,
unapotembea jiulize ndugu,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,

Verse 3
Mungu anatafuta mtu atakaye simama, ili amutume kuokoa taifa lake,
Mungu anatafuta mtu atakaye simama, ili amutume kuokoa taifa lake,
Jamani wapendwa tusimame tumfuate bwana Yesum
Na sisi sote tutashinda, tutaokolewa!

Chorus
unapotembea jiulize ndugu,
unapotembea jiulize ndugu,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,

unapotembea jiulize ndugu,
unapotembea jiulize ndugu,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
maana yote ufanyayo bwana anakuona,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,
anajua mwenendo wako na kukuchunguza vyema,


Related lyrics

Comments (0)
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 187 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)