| 
A+ R A-

(1 vote, average 5.00 out of 5)

Chapaa

" target="_blank">LISTEN TO 'CHAPAA'

Artist: Abbas Kubaff
Song: Chapaa

Intro

Mi nalike chapaa vile we u-like chapaa (yeah)
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar (round hii niko serious)
(Tshazi twende kazi, ye-ye-ye-yeah)

Verse 1
Doobeez ni mchizi mi ni msanii toka C-vo
Sisikiki sishikiki stishiki na vitisho
Naenda job na jeans juu nimevalia t-sho
Na tangu kitambo mi huwa, hivo-hivo
MC’s wana ji-do kumbe hawan hata dough
Dough zimefanya ati watu mapembe hata flow
Traffic haijambamba mzeya, basi Mbona enda slow?
Nairobi ukisleki basi jo utakuta doorUtakutwa na mtu tisa ukitoka Carnovore
Ngoma kwenye kichwa mzeya, eti juu
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar!

Chorus
Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
Beba bass Tsahzi, lemme get round

Verse 2
Nafika coast ku-cruise, ndani ya 4 by 4
Naenda kupiga show, CDs marker na soo
Mfuko nimesota maze jo niko na soo
Lakini haina noma, hope mzeya niko po-a
Seti hii kwa player juu kapuka imenibo
Tshazi twende kazi wacha jo niwapeleke slow
Wacha niwa-show jinsi ya kumake dough
Stage nikifika nipe mbili za vodo
Oh-oh-oh cheki ma-fovo
Cheki hizo macho jo mzeya nipige show
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar

Chorus
Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
Beba bass Tsahzi, lemme get round


Bridge
Watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
Ni kama sina chapaa (We umesota!)
Wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
Hawezi kuwa star (Abbas umesota!)

 

Watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
Ni kama sina chapaa (We umesota!)
Wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
Hawezi kuwa star (Abbas umesota!)

Chorus
Mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
Mi nazipeleka bank ukizipeleka bar
Mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
Beba bass Tsahzi, lemme get round


Related lyrics

Comments (3)
  • ale  - home
    this song was amazing. everytime i listen to it reminds me of being back home in kenya. reppin home! its on heavy rotation in kenyan clubs in NC. kenyan music is just dope.
  • nyakundi29
    kali. na remix ni on point kushinda.
  • andyuk
    Someone stop all this foolishness... ABBAS YOU ARE KENYAN AND NOT AMERICAN! ARE YOU SUFFERING FROM AN IDENTITY CRISIS? There is hiphop and there is straight up foolish imitation of a standard you will never achieve. Im not saying you have to be american to do hiphop. Just stop the wannabe 50 cent meets yin yang twins and adopt a book from Ukoo Flani if you wanna rep RELEVANT hiphop. Get your own style, and stop this awkward mess.
Write comment
Your Contact Details:
Comment:
Read : 3080 times
Ghafla!Lyrics (Kenya)